Search This Blog

Nyumbani-Kigoma All stars

MAHAKAMA YA MAPENZI

DOWNLOADS

 DOWLOAD NEW SONGS HERE \

DIAMOND PLATNUMZZZZ AKIKAMUA  BBA
Msani wa bongo flava Naseeb Abdul juzkati aliprfom ndani ya mjengo wa BBA kwa Madibha cheki  video jinsi mchiz alivyofanya  madude ya hatari




                LIST YA MARAPA WANAOONGOZA KWA MKWANJA MREFU.

Katika  mchakato wa kujua ni Rapa gani ambaye anamiliki mkwanja mrefu kila mwaka kupitia “FORBES” imeshatoka na safari hii kwa mara ya pili Mtumzima “DIDDY” kutoka “DIRTY MONEY” ameoneka kulead kwa miaka miwili mfululizo taharifa za “FORBES” ziko kama ifuatavyo
(1)    Diddy anamiliki kiasi cha dolla $550 million, pesa hizi zinatokana na umiliki wa Ciroc vodkaSean John and Enyce clothing lines,  record label Bad Boy and several startups na  cable channel ambayo ameipa jina la Revolt  ambayo itaanza rasmi mwishoni mwa mwaka huu.
(2)    Jay-Z  ameshika nafasi ya pili kwa kumiliki kiasi cha dola  $460 pesa hizi zimetokana na uuzwaji wa nguo za  Rocawear  Umiliki wa timu ya kikapu ya New Jersey Nets, na umiliki wa club ya 40/40 Club.
(3)    Dr. Dre  nae anaendelena kufanya poa kwa kumiliki dolla  $270 million hii inatokana na umiliki na uwekezaji  Beats Electronics.
(4)    Birdman anamiliki dolla $125 million kutokana na bussinnes na lebo yake ya “YMCMB”.
(5)    50 Cent anamiliki dolla $110 million kupitia bussines, movie pamoja na mziki

No comments: