Search This Blog

Nyumbani-Kigoma All stars

MAHAKAMA YA MAPENZI

Friday, August 24, 2012

SERENA WILLIAMS ATHIBIKA KUWA MMOJA KATI YA WANAWAKE WENYE MVUTO DUNIANI


Ukiangalia picha zifuatazo hutakuwa mbali na ukweli endapo utakubaliana na mtandao wa media take out unaoelezea urembo wa superstar wa tenes Serena wiliams.....Katika mtandao wa media out kuna heading inayosema 'its now official...Tennis Superstar is one of the bangiest woman on the Planet"Je ni kweli?
Ikumbukwe kuwa katika siku za karibuni Serena amekuwa akiteka media around the world kwa kitendo chake cha kuwa na mahusianoya kimapenzi na kijana ambaye ni mdogo sana kiumri....

No comments: