Search This Blog

Nyumbani-Kigoma All stars

MAHAKAMA YA MAPENZI

Saturday, August 18, 2012

AJIFUNGUA MTOTO MWENYE VICHWA VIWILI



Mwanamke mmoja nchini India amejifungua mtoto wa kike  mwenye vichwa viwili na miguu zaidi ya miwili katikaka tukio lililotokea katika jimbo la Uttar Pradesh katika hospitali ya Aashirwad .Mtoto huyo ana  vichwa viwili kwenye shingo moja na anatumia midomo yote miwili kulia..
  Daktari wa hospitali alipojifungulia mwanmke huyo anasema hali hiyo isiyo ya kawaida iantokea mara moja kwa watoto wengi wanaozalia na husababishwa na genetic disorder.
 Baba wa mtoto huyo Tilakdhari Yaday anasema huo ulikuwa uzao wao wa sitakwa yeye na mkewe huyo.

No comments: