Search This Blog

Nyumbani-Kigoma All stars

MAHAKAMA YA MAPENZI

Thursday, August 09, 2012

HUKUMU YA MAHALU YAENDELEA KUSOMWA

Aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini ITALIA Costantine mahalu mwenye miwani akiwa na wakili wake mahakamani kisutu leo..Hukumu ya kesi hiyo ya ubadhirifu wa fedha za serikali inayomhusu mahalu ambaye mmoja wa mashaidi wake alikuwa raisi wa awamu ya tatu B.W.Mkapa bado iasikilizwa na thecommunitytz itakuletea hukumu hiyo.

No comments: