Search This Blog

Nyumbani-Kigoma All stars

MAHAKAMA YA MAPENZI

Thursday, August 09, 2012

MAHALU ASHINDA KESI

Breaking News:
 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo imemwachia huru aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Italia, Prof. Costa Mahalu baada ya kutopatikana na hatia katika makosa yote sita yaliyokuwa yanamkabili.Mahalu aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya ubadhirifu wa fedha za umma alikuwa akitetewa na wakili mkongwe Mabere  Marando  na pia aliwahi kutolewa ushahidi na aliyekuwaraisi wa awamu ya tatu Benjamin William Mkapa.

No comments: